Quote preview background for Enock Maregesi
Kilio kikuu cha Yesu, __loi, Eloi, lama sabakthani?_, yaani, __ungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?_, na __mekwisha_, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa __aburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu_. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na __ungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?_ na inaisha na __mekwisha_, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.
Enock Maregesi
Turn into a Quote Card

Quote Detail

Kilio kikuu cha Yesu, __loi, Eloi, lama sabakthani?_, yaani, __ungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?_, na __mekwisha_, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa __aburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu_. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na __ungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?_ na inaisha na __mekwisha_, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.

Quick Answer

What this quote page tells you

This canonical quote page keeps the full saying, the attributed author, any linked work, and the topic tags together so the quote can be cited from one stable URL.

Related Quotes

More quote cards from the same area