Despite the horror, we survivors were endowed with a will to survive. Or instinct. Or maybe it was faith.
Kilio kikuu cha Yesu, __loi, Eloi, lama sabakthani?_, yaani, __ungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?_, na __mekwisha_, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa __aburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu_. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na __ungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?_ na inaisha na __mekwisha_, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.
Quote Detail
Kilio kikuu cha Yesu, __loi, Eloi, lama sabakthani?_, yaani, __ungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?_, na __mekwisha_, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa __aburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu_. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na __ungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?_ na inaisha na __mekwisha_, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.
Quick Answer
What this quote page tells you
This canonical quote page keeps the full saying, the attributed author, any linked work, and the topic tags together so the quote can be cited from one stable URL.
Related Quotes
More quote cards from the same area
If you cannot reach a state of utter oneness with each other, how do you expect to solve anything? Separate the world will crumble; together the world will thrive.
Religion isn't bad, it's our consciousness relativity to religion. There's a reason Mahatma Ghandi said "I like your Christ, I don't like your Christians. Your Christians are so unlike your Christ." The principle is that religion doesn't make 'you'. 'You' make your 'religion'.
Totally present in this moment for you.
You have to appreciate where you have come from to know who you are in the present and whom you would like to be in the future.
Depression is evil. Before you know it, it takes over and there's no escaping it.