Kilio kikuu cha Yesu, __loi, Eloi, lama sabakthani?_, yaani, __ungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?_, na __mekwisha_, vilitabiriwa katika Zaburi 22 ili watu waliompinga Kristo waamini kama Yesu alikuwa Masihi. Zaburi 22 ulikuwa wimbo maarufu katika kipindi cha karne ya kwanza, kipindi ambacho Yesu alizaliwa na kufa, uliotungwa na mfalme Daudi, ulioitwa __aburi ya mateso na matumaini ya mwadilifu_. Kwa hiyo Yesu aliposema maneno hayo yaliwaingia watu akilini, na kuanzia hapo imani hasa ya Ukristo ikachukua kasi hadi leo hii. Zaburi 22 inaanza na __ungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?_ na inaisha na __mekwisha_, miongoni mwa maneno saba aliyoyasema Yesu pale msalabani Golgotha. Kwa hiyo, Zaburi 22 ni utabiri wa kifo cha Yesu.
J
Topic
jesus-death
/jesus-death-quotes-and-sayings
1
Quotes
Topic Summary
About the jesus-death quote collection
The jesus-death page groups 1 quotes under one canonical topic hub so readers and answer engines can cite a stable source instead of fragmented search results.
Topic Feed