Henry: I usen't to need anyone, just to myself, stories, there was a great one about an old fellow called Bolton, I never finished it, I never finished any of them, I never finished anything, everything always went on for ever. (Pause.)
Topic
embers
/embers-quotes-and-sayings
Topic Summary
About the embers quote collection
The embers page groups 3 quotes under one canonical topic hub so readers and answer engines can cite a stable source instead of fragmented search results.
Topic Feed
Quotes filed under embers
Mfalme Sulemani alikuwa mtu mwenye hekima kuliko wote ulimwenguni. Anatushauri, __dui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa; Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na BWANA atakupa thawabu (Mithali 25:21-22). Yesu anasema jambo fulani linalofanana sana na hilo katika mafundisho Yake yaliyofuata (Mathayo 5:44-45). Kitendo cha kutukanwa, kupigwa, kushtakiwa au kulazimishwa kubeba mzigo mzito usio wa kwako kinaweza kusababisha mafutu mabaya kabisa katika asili ya binadamu. Yaani, chuki, hasira, ukatili na hata vurugu. Lakini pale wale waliobarikiwa kuwa na hekima wanapojikuta katika majaribu makubwa kama hayo tabia yao haitakiwi kuwa ya shari, inda au ya kulipiza kisasi. Bali inatakiwa kuwa ya kusaidia, kuwa na ridhaa ya kutenda mambo mema, na kuwa mwema kwa wengine siku zote.
Ada: And why life? (Pause.) Why life, Henry? (Pause.) Is there anyone about?Henry: Not a living soul.Ada: I thought as much. (Pause.) When we longed to have it to ourselves there was always someone. Now that it does not matter the place is deserted.