Revenge: it's a dream of flames fueled by scorched remains that are lit to a torch and brought back upon the one who burned you.
Wewe kuingilia mambo ya John ni sawa na kusema, __ungu umeshindwa hebu ngoja na mimi nijaribu; ngoja niingilie kati kukusaidia juu ya maisha ya John Doe._ Hiyo ni dhambi. Tena ni dhambi kubwa. Unajifananisha na Mungu; kwamba Mungu wa John Doe ameshindwa kwa hiyo mungu wewe ndiye utakayemtatulia matatizo yake. Amri kuu ya kwanza ya Mungu inasema, __siwe na miungu mingine ila mimi._ Kuingilia mambo ya John tayari umevunja amri ya kwanza ya Mungu kwa kujifanya Mungu. Mungu ana mpango na maisha ya John, na anatumia matatizo yake kumfikisha kwenye takdiri aliyompangia. Hivyo, wewe si Mungu, acha Mungu afanye kazi yake. Mungu akikuruhusu kuingilia kati, yaani John akiamua kwa hiari yake mwenyewe kukuomba msaada wa mawazo au ushauri, maana yake ni kwamba Mungu amekuchagua wewe kuwa sehemu ya mafanikio ya John Doe.
Quote Detail
Wewe kuingilia mambo ya John ni sawa na kusema, __ungu umeshindwa hebu ngoja na mimi nijaribu; ngoja niingilie kati kukusaidia juu ya maisha ya John Doe._ Hiyo ni dhambi. Tena ni dhambi kubwa. Unajifananisha na Mungu; kwamba Mungu wa John Doe ameshindwa kwa hiyo mungu wewe ndiye utakayemtatulia matatizo yake. Amri kuu ya kwanza ya Mungu inasema, __siwe na miungu mingine ila mimi._ Kuingilia mambo ya John tayari umevunja amri ya kwanza ya Mungu kwa kujifanya Mungu. Mungu ana mpango na maisha ya John, na anatumia matatizo yake kumfikisha kwenye takdiri aliyompangia. Hivyo, wewe si Mungu, acha Mungu afanye kazi yake. Mungu akikuruhusu kuingilia kati, yaani John akiamua kwa hiari yake mwenyewe kukuomba msaada wa mawazo au ushauri, maana yake ni kwamba Mungu amekuchagua wewe kuwa sehemu ya mafanikio ya John Doe.
Quick Answer
What this quote page tells you
This canonical quote page keeps the full saying, the attributed author, any linked work, and the topic tags together so the quote can be cited from one stable URL.
Related Quotes
More quote cards from the same area
When life is a horror....Don't look like a ghost!
This was like watching murder. Defilement. And it was something worse than either of those things. Even among his family, black trade as they were, books were holy things.
So you're lost, uh? Happens a lot out here. You walk around for days, seeing things, losing your bearings, crying out for God, But He can't hear you. You can scream and scream but nobody'll ever hear you.
Bill suited the action to the word, getting up and leaning over the handlebars and pumping the pedals at a lunatic rate. Looking at Bill's back, which was amazingly broad for a boy of eleven-going-on-twelve, watching it work under the duffel coat, the shoulders slanting first one way and then the other as he shifted his weight from one pedal to the other, Richie suddenly became sure that they were invulnerable...they would live forever and ever.
This isn__ how things were supposed to happen. I was supposed to be me. Not this.