Revenge: it's a dream of flames fueled by scorched remains that are lit to a torch and brought back upon the one who burned you.
Kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa raha ni rahisi kuliko kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa shida, na utahitaji imani kuendelea kumwamini wakati wa dhiki. Vipindi vigumu katika maisha yetu hutokea kwa kila mmoja wetu. Kuamini ya kwamba Mungu ana makusudi ya lazima kukuondolea vikwazo katika maisha yako ni vigumu sana wakati mwingine, lakini imani ndicho kitu cha muhimu zaidi unachotakiwa kuwa nacho katika kipindi hiki ambacho dunia imekata tamaa. Amani ya Mungu, ambayo huzidi hekima na maarifa yote ya kibinadamu, ni kuliamini neno la Mungu kwamba ni la kweli. Bila imani hutaweza kumfurahisha Mungu. Imani ni ufunguo wa nguvu, uwezo na neema ambavyo Mungu ametupangia. Kwa ufupi, Mungu ni mkubwa kuliko wewe na matatizo yako.
Quote Detail
Kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa raha ni rahisi kuliko kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa shida, na utahitaji imani kuendelea kumwamini wakati wa dhiki. Vipindi vigumu katika maisha yetu hutokea kwa kila mmoja wetu. Kuamini ya kwamba Mungu ana makusudi ya lazima kukuondolea vikwazo katika maisha yako ni vigumu sana wakati mwingine, lakini imani ndicho kitu cha muhimu zaidi unachotakiwa kuwa nacho katika kipindi hiki ambacho dunia imekata tamaa. Amani ya Mungu, ambayo huzidi hekima na maarifa yote ya kibinadamu, ni kuliamini neno la Mungu kwamba ni la kweli. Bila imani hutaweza kumfurahisha Mungu. Imani ni ufunguo wa nguvu, uwezo na neema ambavyo Mungu ametupangia. Kwa ufupi, Mungu ni mkubwa kuliko wewe na matatizo yako.
Quick Answer
What this quote page tells you
This canonical quote page keeps the full saying, the attributed author, any linked work, and the topic tags together so the quote can be cited from one stable URL.
Related Quotes
More quote cards from the same area
When life is a horror....Don't look like a ghost!
Despite the horror, we survivors were endowed with a will to survive. Or instinct. Or maybe it was faith.
So you're lost, uh? Happens a lot out here. You walk around for days, seeing things, losing your bearings, crying out for God, But He can't hear you. You can scream and scream but nobody'll ever hear you.
Bill suited the action to the word, getting up and leaning over the handlebars and pumping the pedals at a lunatic rate. Looking at Bill's back, which was amazingly broad for a boy of eleven-going-on-twelve, watching it work under the duffel coat, the shoulders slanting first one way and then the other as he shifted his weight from one pedal to the other, Richie suddenly became sure that they were invulnerable...they would live forever and ever.
This isn__ how things were supposed to happen. I was supposed to be me. Not this.